Usiku ule walikuwako wachungaji wakilinda kondoo zao nje ya mji. Ghafla malaika wa Bwana akawatokea, na utukufu wa Mungu ukawang’azia pande zote. Wakajawa na hofu kuu.@Luka 2:8-9
picha
Josef Mohr (1792–1848)

Josef Mohr, circa 1816-1818 (Stille Nacht); .

Franz X. Gruber, circa 1820 (🔊 pdf nwc).

picha
Franz X. Gruber (1787–1863)

Zanena, Sikukuu
Kengele, za Juu
Waumini furahini
Mukombozi mkumbusheni
Mzawa leo Betlehem
Mzawa leo Betlehem.